Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)

Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi orodha ya vilabu bora barani Afrika kwa mwaka 2025, ikionesha mwelekeo wa nguvu za soka la vilabu katika bara hili. Orodha hii, inayojulikana kama CAF Club Ranking 2025, hutolewa kila mwaka kwa kuzingatia mafanikio ya vilabu katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) na yae ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) katika misimu ya hivi karibuni.

Kwa mwaka huu, matokeo haya yametolewa muda mfupi kabla ya droo za awamu za awali za michuano ya TotalEnergies CAF Champions League na TotalEnergies CAF Confederation Cup msimu wa 2025/26, droo ambazo zitafanyika jijini Dar es Salaam. Viwango hivi hutumika kupanga vikapu vya droo, hivyo nafasi ya klabu katika orodha hii ni muhimu kwa mpangilio wa mechi na uwezekano wa kufuzu hatua za juu.

Al Ahly FC kutoka Misri imeendelea kushikilia nafasi ya kwanza kwa alama 78, ikithibitisha ubabe wake barani Afrika baada ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika mara nne katika misimu sita iliyopita. Nafasi ya pili inashikiliwa na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini (62 pointi), ambayo imejijengea sifa kama nguvu kubwa Kusini mwa Afrika.

Espérance Sportive de Tunis ya Tunisia imeibuka ya tatu kwa alama 57, ikidumisha utawala wa vilabu vya Kaskazini mwa Afrika katika mashindano ya CAF. RS Berkane ya Morocco (52 pointi), mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika msimu uliopita, wamefuatia katika nafasi ya nne, huku nafasi ya tano ikishikiliwa na Simba SC ya Tanzania (48 pointi), ambayo imekuwa klabu bora zaidi kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki.

Orodha ya Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)

Rank Jina la Klabu
1 Al Ahly FC
2 Mamelodi Sundowns
3 Espérance Sportive de Tunis
4 RS Berkane
5 Simba SC
6 Pyramids FC
7 Zamalek SC
8 Wydad AC
9 USM Alger
10 CR Belouizdad
11 Al Hilal SC
12 Young Africans
13 ASEC Mimosas
14 TP Mazembe
15 Orlando Pirates
16 Raja CA
17 Atletico Petroleos
18 AS FAR
19 MC Alger
20 GD Sagrada Esperança
21 CS Constantine
22 Stellenbosch FC
23 Al Masry SC
24 Rivers United FC
25 JS Kabylie
26 Dreams FC
27 Stade Malien
28 Horoya AC
29 Future FC
30 Etoile SS
31 Marumo Gallants FC
32 E.S. Setif
33 FC Nouadhibou
34 Abu Salim SC
35 Enyimba FC
36 ASC Jaraaf
37 Coton Sport FC de Garoua
38 CS Sfaxien
39 Jwaneng Galaxy FC
40 US Monastirienne
41 Al Merrikh SC
42 Al Ahli Tripoli
43 CD Lunda-Sul
44 FC Bravos do Maquis
45 Stade d’Abidjan
46 Djoliba AC de Bamako
47 AS Maniema Union
48 CSMD Diables Noirs
49 AS Vita Club
50 Kaizer Chiefs FC
51 Medeama SC
52 Al Hilal Benghazi
53 Sekhukhune United FC
54 Club Africain
55 Al Ittihad
56 AmaZulu FC
57 FC St Eloi Lupopo
58 AS Real de Bamako
59 ASKO de Kara
60 Vipers SC
61 Orapa United
62 Associação Black Bulls
63 A.P.C. de Lobito
64 S.O.A.R.
65 SuperSport United FC
66 JS Saoura
67 AS Otohô
68 DC Motema Pembe
69 Al Akhder
70 Royal Leopards FC
71 US Gendarmerie Nationale
72 Zanaco FC
73 Teungueth FC
74 Nkana FC
75 Salitas FC
76 Ahli Benghazi
77 Namungo FC
78 Napsa Stars FC

Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Mshahara wa Celestin Ecua Yanga 2025/2026
  2. Msimamo Kundi la Tanzania CHAN 2024
  3. Mohamed Hussein Shabalala Ajiunga na Yanga SC Baada ya Miaka 11 Simba
  4. Ratiba ya CHAN 2025 Mechi za Makundi
  5. Orodha ya Wachezaji Wazawa Yanga Sc 2025/2026
  6. CV Ya Mohamed Doumbia Kiungo Mpya wa Yanga 2025/2026
  7. Cv ya Mohammed Bajaber Kiungo Mshambuliaji Mpya Simba Sc 2025/2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo