Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Vyuo Vya VETA Januari 2026
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza rasmi Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga Vyuo Vya VETA Januari 2026 Awamu ya Pili, yakihusisha waombaji waliopata nafasi katika ngazi ya Level I kwenye vituo mbalimbali vya mafunzo nchini. Orodha hiyo inaonesha mgawanyo wa wanafunzi kulingana na chuo, kozi na mfumo wa masomo.
Pakua orodha kamili hapa: Angalia Majina Kamili ya Waliochaguliwa
Mapendekezo ya Mhariri:








Leave a Reply