Jezi Mpya za Yanga za Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026

Jezi Mpya za Yanga za Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026

Klabu ya soka ya Yanga imezindua jezi mpya ambazo watazitumia kwenye mechi zao za Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu huu.

Huu hapa ‘uzi’ watakaoutumia katika mechi za nyumbani.

Jezi Mpya za Yanga za Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026 - Mechi za Nyumbani
Jezi Mpya za Yanga za Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026 – Mechi za Nyumbani

Huu hapa ‘uzi’ watakaoutumia katika mechi za Ugenini.

Huu hapa ‘uzi’ mpya wa Yanga watakaotumia kwenye mechi za ugenini za Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) msimu huu.

Jezi mpya ya yanga watakayotumia katika mechi za Ugenini CAF
Jezi mpya ya yanga watakayotumia katika mechi za Ugenini CAF

Jezi ya Tatu ya Yanga Itakayotumika katika michezo ya CAF

Na hii ndio jezi namba tatu ya Yanga SC ambayo wataitumia katika mechi zake za Ligi ya Mabingwa msimu huu.

Jezi Mpya za Yanga za Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Pantev Aandaa Mbinu Kali za kuizamisha Petro de Luanda Ligi ya Mabingwa Afrika
  2. Hat-Trick za Fernandes na Neves Zaipeleka Ureno Kombe la Dunia Baada ya Kuichapa Armenia 9-1
  3. Lyon Karibu Kumsajili Endrick Kutoka Real Madrid
  4. Wachezaji wa Simba Walioitwa Timu za Taifa November 2025
  5. Matokeo ya Yanga vs KMC Leo 09/11/2025
  6. Ratiba ya Yanga Klabu Bingwa 2025/2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo