Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results)

Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results) | Grade A Teachers Certificate Examination (GATCE)

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results) pamoja na matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika kati ya Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo haya yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na Katibu Mtendaji wa NECTA, Prof Said Mohamed, katika hafla maalum iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dr. Said Mohammed, alibainisha kuwa ufaulu kwa wanafunzi wa shule waliofanya mtihani wa kidato cha sita umefikia asilimia 99.95%, ambapo jumla ya 125,779 kati ya watahiniwa wote wamefaulu. Hii ni ongezeko dogo la ufaulu ukilinganisha na mwaka 2024 ambapo ufaulu ulikuwa 99.92%.

Kwa upande mwingine, watahiniwa 68 pekee sawa na 0.05% hawakufaulu. Hili linadhihirisha juhudi kubwa zinazofanywa katika kuboresha elimu nchini na kuandaa walimu bora wa baadaye kupitia Mitihani ya Ualimu Ngazi ya Cheti (GATCE).

Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results)

Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results)

Hapa tumekurahisishia zoezi la kuangalia Matokeo ya Ualimu Ngazi ya Cheti 2025 (NECTA GATCE Results) kwa kukuletea viungo vya moja kwa moja vitakavyokuwezesha kuona matokeo yako moja kwa moja. Ili kuangalia matokeo:

🔍 Tafuta jina la chuo kwenye orodha hapa chini kisha bonyeza jina hilo ili kufungua matokeo moja kwa moja.

ALL CENTRES A B C D E F
G H I J K L M
N O P Q R S T
U V W X Y Z

Bofya Jina la Chuo Hapa Chini Kuangalia Matokeo Yake

504 KATOKE TEACHERS’ COLLEGE 506 MARANGU TEACHERS’ COLLEGE 510 TABORA TEACHERS’ COLLEGE
511 BUSTANI TEACHERS’ COLLEGE 512 MHONDA TEACHERS’ COLLEGE 513 MANDAKA TEACHERS’ COLLEGE
514 ILONGA TEACHERS’ COLLEGE 515 KASULU TEACHERS’ COLLEGE 516 MURUTUNGURU TEACHERS’ COLLEGE
517 KITANGALI TEACHERS’ COLLEGE 518 NDALA TEACHERS’ COLLEGE 520 SINGACHINI TEACHERS’ COLLEGE
522 KINAMPANDA TEACHERS’ COLLEGE 523 MONDULI TEACHERS’ COLLEGE 524 MPUGUSO TEACHERS’ COLLEGE
528 TANDALA TEACHERS’ COLLEGE 529 TARIME TEACHERS’ COLLEGE 532 NACHINGWEA TEACHERS’ COLLEGE
534 MTWARA TEACHERS’ COLLEGE 537 SHINYANGA TEACHERS’ COLLEGE 538 BUNDA TEACHERS’ COLLEGE
540 AL-HARAMAIN ISLAMIC TEACHERS’ COLLEGE 542 SUMBAWANGA TEACHERS’ COLLEGE 544 KABANGA TEACHERS’ COLLEGE
545 MTWARA TECHNICAL TEACHERS’ COLLEGE 549 NAZARETH TEACHERS’ COLLEGE 556 VIKINDU TEACHERS’ COLLEGE
559 ST. MARY’S TEACHERS’ COLLEGE 563 ARAFAH TEACHERS’ COLLEGE 564 COAST TEACHERS’ TRAINING COLLEGE
565 GREEN BIRD TEACHERS’ COLLEGE 567 MONTESSORI KAWEKAMO TEACHERS’ COLLEGE 571 ARUSHA TEACHERS’ COLLEGE
575 SINGIDA TEACHERS’ COLLEGE 577 EBONITE TEACHERS’ COLLEGE 581 AGGREY TEACHERS’ COLLEGE
583 SAHARE TEACHERS’ COLLEGE 585 ST. FRANCIS NKINDO TEACHERS’ COLLEGE 588 DAKAWA TEACHERS’ COLLEGE
591 RUKWA TEACHERS’ COLLEGE 597 MBEYA MORAVIAN TEACHERS’ COLLEGE 600 MTUMBA TEACHERS’ COLLEGE
607 MWALIMU FRANZ TEACHERS’ COLLEGE 608 LAKE TEACHERS’ COLLEGE 610 BISHOP DURNING TEACHERS’ COLLEGE
620 MUSOMA UTALII TEACHERS’ COLLEGE 621 SILA TEACHERS’ COLLEGE 623 KING’ORI TEACHERS’ COLLEGE
629 ST MAURUS CHEMCHEM TEACHERS’ COLLEGE 633 KIGOGO TEACHERS’ COLLEGE 645 TUSAALE TEACHERS’ COLLEGE
649 KILIMANJARO MODERN TEACHERS’ COLLEGE 652 MAMIRE TEACHERS’ COLLEGE 658 NYAMWEZI TEACHERS’ COLLEGE
663 TEOFILO KISANJI TEACHERS’ COLLEGE 681 DC BRILLIANT TEACHERS COLLEGE 683 VST TEACHERS’ COLLEGE
685 PARTAGE MONTESSORI TEACHERS COLLEGE

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Tarehe ya Kutangazwa kwa Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 na NECTA
  2. Matokeo ya Kidato cha Sita 2025 NECTA ACSEE
  3. Fomu Za Kujiunga Kidato Cha Tano (Form Five Joining Instruction Form) 2025
  4. Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano 2025/2026 (Form Five Selection)
  5. Shule Walizopangiwa Kidato cha Tano Zanzibar 2025
  6. Majina ya Waliochaguliwa Vyuo Vya Kati 2025/2026 (Selection Vyuo Vya Kati)
  7. Waliochaguliwa Kidato Cha Tano na Vyuo vya Kati 2025 (Tamisemi Selection)
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo