Ratiba ya CHAN 2024/2025 | CAF African Nations Championship

Ratiba ya CHAN 2024/2025 | CAF African Nations Championship

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kushirikiana na Kamati za Maandalizi za wenyeji watatu Tanzania, Kenya na Uganda limetangaza rasmi Ratiba ya CHAN 2024/2025, ambapo michuano hiyo mikubwa ya wachezaji wa ligi za ndani barani Afrika itaanza rasmi tarehe 2 Agosti 2025 jijini Dar es Salaam.

📅 Mchezo wa Ufunguzi: Tanzania vs Burkina Faso – Agosti 2

Mashindano haya yataanza kwa kishindo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, ambapo Tanzania (Taifa Stars) watafungua pazia kwa kuvaana na Burkina Faso saa 2:00 usiku (EAT). Huu ni mchezo wa Kundi B unaotarajiwa kuvuta hisia za mashabiki wengi, hasa kwa kuwa Tanzania ni mmoja wa wenyeji wa michuano hii.

Muundo wa Makundi na Mechi za Mwanzo – Ratiba ya CHAN 2024/2025

Ratiba ya Mechi za Kundi A CHAN 2024/2025

Uwanja: Moi International Sports Centre & Nyayo Stadium – Nairobi, Kenya

Timu: Kenya, Morocco, Angola, DR Congo, Zambia

🗓️ Agosti 3

  • Kenya vs DR Congo – Saa 9:00 alasiri
  • Morocco vs Angola – Saa 12:00 jioni

🗓️ Agosti 6

  • Kenya vs Morocco – Saa 9:00 alasiri

🗓️ Agosti 9

  • Zambia vs DR Congo – Saa 1:00 usiku

🗓️ Agosti 13

  • DR Congo vs Morocco – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 15

  • Zambia vs Angola – Saa 1:00 usiku

🗓️ Agosti 18

  • DR Congo vs Zambia – Saa 2:00 usiku

Ratiba ya Mechi za Kundi B CHAN 2024/2025

Uwanja: Benjamin Mkapa Stadium – Dar es Salaam, Tanzania

Timu: Tanzania, Burkina Faso, Madagascar, Mauritania, Central African Republic (CAR)

🗓️ Agosti 2

  • Tanzania vs Burkina Faso – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 3

  • Madagascar vs Mauritania – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 5

  • Tanzania vs CAR – Saa 1:00 usiku

🗓️ Agosti 7

  • CAR vs Madagascar – Saa 11:00 jioni

🗓️ Agosti 9

  • CAR vs Mauritania – Saa 9:00 alasiri

🗓️ Agosti 13

  • Burkina Faso vs Madagascar – Saa 11:00 jioni

🗓️ Agosti 17

  • Burkina Faso vs Mauritania – Saa 1:00 usiku

Ratiba ya Mechi za Kundi C CHAN 2024/2025

Uwanja: Mandela National Stadium – Kampala, Uganda

Timu: Uganda, Niger, Guinea, Algeria, South Africa

🗓️ Agosti 4

  • Niger vs Guinea – Saa 11:00 jioni
  • Uganda vs Algeria – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 7

  • Guinea vs Algeria – Saa 11:00 jioni

🗓️ Agosti 10

  • South Africa vs Niger – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 13

  • Nigeria vs Guinea – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 16

  • South Africa vs Uganda – Saa 2:00 usiku

Ratiba ya Mechi za Kundi D CHAN 2024/2025

Uwanja: Amaan Stadium – Zanzibar, Tanzania

Timu: Senegal, Congo, Sudan, Nigeria

🗓️ Agosti 5

  • Senegal vs Congo – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 6

  • Sudan vs Nigeria – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 10

  • Congo vs Nigeria – Saa 2:00 usiku

🗓️ Agosti 13

  • Sudan vs Senegal – Saa 2:00 usiku

Ratiba ya CHAN 2024/2025 | CAF African Nations Championship

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Timu Zilizofuzu Hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia la Vilabu 2025
  2. Wydad Casablanca Yafungashiwa Virago Kombe la Dunia Bila Pointi
  3. Asante Kotoko Yachukua Nafasi ya Yanga Kombe la Toyota Afrika Kusini
  4. Milos Kerkez Ajiunga Rasmi na Liverpool kwa Ada ya Pauni Milioni 40
  5. Christian Eriksen Aondoka Man United Baada ya Utumishi wa Miaka Mitatu
  6. Kikosi cha Tanzania CHAN 2024: Wachezaji Kuingia Kambini Julai 7, 2025
  7. Yanga Yailaza Simba 2-0 na Kutwaa Kombe la Ligi Kuu Kwa Mara ya 31
  8. Vituo Vya Tiketi Mechi ya Yanga Vs Simba 25/06/2025
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo