Ratiba ya Kombe la Shirikisho CRDB Federation Cup 2025/2026
Michuano ya Kombe la FA Tanzania, maarufu kama Kombe la CRDB Federation Cup, hatimaye kurejea kwa msimu wa 2025/2026 na kuleta tena hamasa katika soka la ndani. Ratiba ya raundi ya kwanza iliyotangazwa na shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF imebainisha mpangilio wa mechi zinazotarajiwa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, zikihusisha timu kutoka ngazi na mikoa tofauti. Mashindano haya yameendelea kuwa jukwaa muhimu kwa klabu kuonyesha uwezo wao, huku mashabiki wakisubiri kuona safari ya timu kadhaa inaanzia wapi msimu huu.
Ratiba ya Kombe la Shirikisho CRDB Federation Cup 2025/2026 – Raundi ya Kwanza
Mechi za 18 Desemba 2025
16:00 – Pan African (FL, Dar) vs Bagamoyo Sugar (FAR, Pwani)
Uwanja: Mabatini – Pwani
16:00 – Mapinduzi FC (FL, Mwanza) vs Buhare FC (RCL, Mara)
Uwanja: Nyamagana – Mwanza
Mechi za 19 Desemba 2025
Rhino Rangers (RCL, Tabora) vs Winners M#1 (TBC)
Uwanja: Ali Hassan – Tabora
Moro Kids (FL, Morogoro) vs Winners #2 (TBC)
Uwanja: Jamhuri – Morogoro
Dew Drop (RCL, Rukwa) vs Dhujaa FC (FAR, Katavi)
Uwanja: Mandela – Rukwa
Home Boys (RCL, Katavi) vs THB (FAR, Katavi)
Uwanja: Kwatawi – Katavi
Kyla SC (FL, Mbeya) vs Kijiwe Nongwa (FAR, Mbeya)
Uwanja: Sokoine – Mbeya
The Green FC (RCL, Songwe) vs Masandawana FC (FAR, Songwe)
Uwanja: Mkwajuni – Songwe
Tanesco Iringa (RCL, Iringa) vs Chama la Wana (FAR, Njombe)
Uwanja: Samora – Iringa
Vijana SC (FL, Njombe) vs Young Star (FAR, Njombe)
Uwanja: Amani – Njombe
Cosmopolitan FC (FL, Dar) vs Tandiko United (FAR, Dar)
Uwanja: Jamhuri – Morogoro
Magnet FC (FL, Mwanza) vs Bara FC (FAR, Simiyu)
Uwanja: Mabatini – Mwanza
Mechi za 20 Desemba 2025
Mighty Elephant (RCL, Ruvuma) vs Poja FC (FAR, Ruvuma)
Uwanja: Majimaji – Ruvuma
Mnazi Mmoja (FL, Lindi) vs Newala FC (FAR, Mtwara)
Uwanja: Ilulu – Lindi
Bandari Tanzania (RCL, Mtwara) vs Rajam FC (FAR, Mtwara)
Uwanja: Nangwanda – Mtwara
Nkim FC (FL, Tanga) vs Senior Hope FC (RCL, Arusha)
Uwanja: Mkwakwani – Tanga
IAA SC (RCL, Arusha) vs Matiu SC (FAR, Arusha)
Uwanja: Armi Abei – Arusha
Endumenti FC (RCL, Kilimanjaro) vs Mzingani Warriors (FAR, K’njaro)
Uwanja: Ushirika – Kilimanjaro
Kajuna FC (RCL, Geita) vs Geita Institute (FAR, Geita)
Uwanja: Geitamanyika – Geita
Nyakagwe Stars (RCL, Geita) vs Airport FC (FAR, Geita)
Uwanja: Nyankumbu – Geita
Greenland FC (RCL, Kagera) vs Leo Team FC (FAR, Kagera)
Uwanja: Kaitaba – Kagera
Green Warriors (FL, Dar) vs Magereza FC (FAR, Pwani)
Uwanja: Mabibo – Pwani
Dar City (FL, Dar) vs Nyika FC (FAR, Simiyu)
Uwanja: Karume – Mara
Biashara United (RCL, Mara) vs Bariadi United (RCL, Simiyu)
Uwanja: Karume – Mara
Alliance FC (FL, Mwanza) vs Mshikamano FC (FAR, Simiyu)
Uwanja: Nyamagana – Mwanza
Mechi za 21 Desemba 2025
K’njaro Wonders (FAR, Kilimanjaro) vs ACA Eagle (FAR, Manyara)
Uwanja: Manyara – Kilimanjaro
Nyumbu FC (RCL, Pwani) vs Super Black Six (FAR, Singida)
Uwanja: Mabatini – Pwani
Simiyu Veterans (RCL, Simiyu) vs West Singers (FAR, Singida)
Uwanja: Ng’hoboko – Simiyu
Copoco FC (RCL, Simiyu) vs Mlimani FC (FAR, Mwanza)
Uwanja: Nyamagana – Mwanza
Mbao FC (RCL, Mwanza) vs Toto Africans (FAR, Mwanza)
Uwanja: U/Taifa – Mwanza
Magic Pressure (RCL, Singida) vs Kilimo FC (FAR, Singida)
Uwanja: Airtel – Singida
Kilombero SA (RCL, Morogoro) vs FGA Talents (FAR, Morogoro)
Uwanja: Jamhuri – Morogoro
Mapendekezo ya Mhariri:
- Msimamo Wa Championship Ligi Daraja la Kwanza Tanzania 2025/2026
- Msimamo wa Kundi la Azam Kombe la Shirikisho CAF 2025/2026
- Simba Yachezea Kichapo cha Pili Mfululizo Makundi Klabu Bingwa
- Singida BS Yapata Pointi ya Kwanza Makundi Kombe la Shirikisho CAF
- Matokeo ya Stade Malien vs Simba leo 30/11/2025
- Kikosi cha Simba vs Stade Malien leo 30/11/2025
- Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Leo 30/11/2025









Leave a Reply