Ratiba ya Ligi Kuu Wanawake Tanzania (TWPL) 2025/2026

Ratiba ya Ligi Kuu Wanawake Tanzania (TWPL) 2025/2026

Pazia la Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) msimu wa 2025/2026 linafunguliwa rasmi tarehe 8 Desemba 2025, kupitia mchezo kati ya JKT Queens na Bunda Queens utakaochezwa katika Uwanja wa Maj Gen Isamuhyo kuanzia saa 10:00 jioni.

Huu ndio mwanzo wa safari ndefu ya timu 12 zinazowania ubingwa wa ligi hiyo ya wanawake, ikiwa ni sehemu ya kalenda ya mashindano ya TFF kwa upande wa soka la wanawake nchini. Msimu huu unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na ratiba iliyojumuisha michezo kuanzia Desemba 2025 hadi Mei 2026, ikiwa na mechi za mzunguko wa nyumbani na ugenini. Ratiba rasmi imetolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ikionesha tarehe, viwanja na muda wa kila pambano.

Ratiba ya Ligi Kuu ya Wanawake 2025/2026 – Mzunguko wa Awali (Desemba 2025)

Mzunguko wa kwanza utaanza tarehe 08/12/2025 na michezo mingine kuendelea tarehe 14/11/2025 hadi 19/11/2025, ikiwa na mechi kama:

  • Geita Queens vs Ceasia Queens – Uwanja wa Nyankumbu
  • Simba Queens vs Bilo Queens – KMC
  • Alliance Girls vs Fountain Gate Princess – Nyangamana
  • Ruangwa Queens vs Yanga Princess – Majaliwa
  • Tausi FC vs Mashujaa Queens – KMC

Katika mzunguko wa pili (12–19 Desemba 2025), timu kama Fountain Gate Princess, JKT Queens, Geita Queens, Ruangwa Queens, Alliance Girls, Simba Queens zitashuka dimbani kuendeleza msururu wa michezo ya mwanzo.

Ratiba ya Ligi Kuu Wanawake Tanzania (TWPL) 2025/2026

ROUND I – 08/12/2025

Date Home Team Away Team Venue Time
08/12/2025 JKT Queens Bunda Queens Maj Gen Isamuhyo 04:00 pm

ROUND II – 14/11/2025 – 19/11/2025

Date Home Team Away Team Venue Time
14/11/2025 Geita Queens Ceasia Queens Nyankumbu 04:00 pm
14/11/2025 Simba Queens Bilo Queens KMC 04:00 pm
14/11/2025 Alliance Girls Fountain Gate Princess Nyamagana 04:00 pm
15/11/2025 Ruangwa Queens Yanga Princess Majaliwa 04:00 pm
19/11/2025 Tausi FC Mashujaa Queens KMC 04:00 pm

ROUND III – 12/12/2025 – 19/12/2025

Date Home Team Away Team Venue Time
12/12/2025 Tausi FC Yanga Princess KMC 04:00 pm
12/12/2025 JKT Queens Bilo FC Maj Gen Isamuhyo 04:00 pm
12/12/2025 Geita Queens Mashujaa Queens Majaliwa 04:00 pm
15/12/2025 Ruangwa Queens Ceasia Queens Nyamagana 04:00 pm
19/12/2025 Simba Queens Bunda Queens KMC 04:00 pm

ROUND IV – 17/12/2025 – 21/12/2025

Date Home Team Away Team Venue Time
17/12/2025 Ceasia Queens JKT Queens Samora 04:00 pm
17/12/2025 Yanga Princess Alliance Girls Azam Complex 04:00 pm
17/12/2025 Mashujaa Queens Geita Queens Nyankumbu 04:00 pm
18/12/2025 Bunda Queens Ruangwa Queens Karume 04:00 pm
18/12/2025 Tausi FC Bilo FC CCM Kirumba 04:00 pm
21/12/2025 Fountain Gate Princess Simba Queens Tanzanite Kwaraa 04:00 pm

ROUND V – 27/12/2025 – 28/12/2025

Date Home Team Away Team Venue Time
27/12/2025 Geita Queens Ruangwa Queens Nyankumbu 04:00 pm
27/12/2025 Tausi FC Alliance Girls KMC 04:00 pm
27/12/2025 Bunda Queens Ceasia Queens Karume 04:00 pm
27/12/2025 Bilo FC Mashujaa Queens CCM Kirumba 04:00 pm
28/12/2025 JKT Queens Geita Queens Maj Gen Isamuhyo 04:00 pm
28/12/2025 Yanga Princess Simba Queens Azam Complex 04:00 pm

ROUND VI – 02/01/2026 – 08/01/2026

Date Home Team Away Team Venue Time
02/01/2026 Ruangwa Queens Simba Queens Majaliwa 04:00 pm
02/01/2026 Mashujaa Queens Bunda Queens Samora 04:00 pm
03/01/2026 Alliance Girls Fountain Gate Princess Nyamagana 04:00 pm
03/01/2026 Ceasia Queens Geita Queens Samora 04:00 pm
03/01/2026 Geita Queens Bilo FC Nyankumbu 04:00 pm
08/01/2026 Simba Queens Tausi FC KMC 04:00 pm

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mikoa Yote (NECTA PSLE Results)
  2. Droo ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika CAF 2025/2026
  3. Yanga Yaangukia Kundi B na Al Ahly Droo ya Makundi Klabu Bingwa 2025/2026
  4. Msimamo Kundi la Yanga Klabu Bingwa 2025/2026
  5. Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa 2025/2026
  6. Droo ya Makundi Klabu Bingwa Afrika 2025/2026
  7. Timu Zilizofuzu Makundi Kombe la Shirikisho Afrika CAF 2025/2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo