Ratiba ya Mechi za Leo 07/12/2025 Ligi Kuu ya NBC

Ratiba ya Mechi za Leo 07/12/2025 Ligi Kuu ya NBC

Saa 11:00 ni Mzizima Derby, Simba SC watakuwa uwanja wa Benjamin Mkapa wanawaalika matajiri wa jiji AzamFC.

Saa 1:15 usiku, Coastal Union ‘Mangushi’ watakuwa uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakiwakaribisha mabingwa watetezi Yanga SC.

Michezo hii kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Ratiba ya Mechi za Leo 07/12/2025 Ligi Kuu ya NBC

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Makundi ya Kombe la Dunia 2026
  2. Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026
  3. TFF Yatangaza Kikosi cha Awali cha Taifa Stars kwaajili ya Fainali za AFCON 2025 Morocco
  4. Ratiba ya Kombe la Shirikisho CRDB Federation Cup 2025/2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo