Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, limetangaza rasmi Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 kwa watahiniwa wa Mtihani wa Cheti cha Juu cha Elimu ya Sekondari (ACSEE).

Kwa mujibu wa ratiba hiyo, mitihani imepangwa kuanza tarehe 04 Mei 2026 na itahitimishwa tarehe 25 Mei 2026, ikihusisha mitihani ya nadharia pamoja na mitihani ya vitendo (practical).

Ratiba hii ni nyaraka muhimu kwa wanafunzi, walimu na wasimamizi wa mitihani, kwani inaeleza kwa kina siku, muda na masomo yote yatakayofanyiwa mtihani katika vipindi vya asubuhi na alasiri.

Muhtasari wa Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na NECTA, mitihani itafanyika kwa vipindi viwili vikuu:

  • Kipindi cha Asubuhi (A.M.): Kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi 5:00 asubuhi kwa masomo mengi ya nadharia, na saa 4:00 asubuhi hadi 7:20 mchana au saa 4:00 asubuhi hadi 9:00 mchana kwa baadhi ya mitihani ya vitendo.
  • Kipindi cha Alasiri (P.M.): Kuanzia saa 8:00 mchana hadi 11:00 jioni.

Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 – Masomo ya Nadharia

Jumatatu – 04/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi General Studies
Alasiri History 1, Chinese Language 1, Biology 1, Accountancy 1

Jumanne – 05/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Kiswahili 1, Physics 1, Agriculture 1, Commerce 1, Food and Human Nutrition 1
Alasiri Geography 1, Physical Education 1, French Language 1, Education

Jumatano – 06/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Kiswahili 2, Basic Applied Mathematics, Advanced Mathematics 1
Alasiri English Language 1, Chemistry 1, Economics 1

Alhamisi – 07/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Geography 2, Agriculture 2, Accountancy 2, Food and Human Nutrition 2
Alasiri Fine Art 1, Chinese Language 2, Physics 2, Economics 2

Ijumaa – 08/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi History 2, Biology 2
Alasiri English Language 2, Chemistry 2, Commerce 2

Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2026 – Masomo ya Practical

Jumatatu – 11/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi French Language 2, Agriculture 3 (Practical), Advanced Mathematics 2, Food and Human Nutrition 3 (Practical)
Alasiri Divinity 1, Islamic Knowledge 1

Jumanne – 12/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Fine Art 2 (Practical), Biology 3A (Practical)
Alasiri Computer Science 1, Information and Computer Studies

Jumatano – 13/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Chemistry 3A (Practical)
Alasiri Arabic Language 1

Alhamisi – 14/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Physics 3A (Practical)
Alasiri Divinity 2, Islamic Knowledge 2

Ijumaa – 15/05/2026

Kipindi Somo
Asubuhi Computer Science 2 (Practical)
Alasiri Arabic Language 2

Ratiba ya Practical – Makundi B na C

Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo