Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Kufanyika Februari 09
Michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB inatarajiwa kuendelea Jumatatu hii, Februari 09, kwa kufanyika droo ya Hatua ya 64 Bora, hatua ambayo itashuhudia kuanza kwa ushiriki wa timu za NBC Premier League katika mashindano hayo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, droo hiyo itafanyika kuanzia saa 6:00 mchana na itarushwa moja kwa moja kupitia AzamSports1HD.
Droo ya Hatua ya 64 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB kufanyika Februari 09 inaweka wazi upangaji wa michezo kwa hatua inayofuata ya mashindano hayo.
Mapendekezo ya Mhariri:
- Hatma ya Vilabu vya Tanzania Kuelekea Robo Fainali CAF 2025/2026 Baada ya Mechi za Raundi ya Nne
- Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Leo 03/02/2026
- Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa 2025/2026
- CV Ya Anicet Oura Mshambuliaji Mpya wa Simba 2025/2026
- Msimamo wa Kundi la Singida Bs Kombe la Shirikisho CAF 2025/2026









Leave a Reply