Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga

Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga

Licha ya kuibuka na mafanikio makubwa katika msimu wa 2024/2025, timu ya wananchi Young Africans SC (Yanga SC) imeendelea kuonesha kiu na dhamira ya kutaka kurudia mafanikio hayo kwa kishindo msimu wa 2025/2026.

Uongozi wa klabu umefanya maboresho makubwa katika kikosi, wakisajili wachezaji wapya na kuimarisha nafasi muhimu ili kuhakikisha timu inabaki kwenye ubora wake wa ndani na kimataifa.

Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano ya kimataifa unatarajiwa kuanza rasmi tarehe 17 Septemba 2025, na tayari mashabiki wa Yanga wana shauku kubwa kuona mastaa wao wapya na wa zamani wakipambana uwanjani.

Katika makala hii tumekuandalia orodha kamili ya Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga ikiwa na majina ya wachezaji wote waliopo kikosini, nafasi wanazocheza pamoja na mataifa wanayotokea.

Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga

Kikosi cha Yanga 2025/2026 | Wachezaji Wote wa Yanga

Jina la Mchezaji Nafasi Taifa
Djigui Diarra Kipa Mali
Khomeiny Abubakar Kipa Tanzania
Abuutwalib Mshary Kipa Tanzania
Ibrahim Hamad Beki wa Kati Tanzania
Dickson Job Beki wa Kati Tanzania
Bakari Mwamnyeto Beki wa Kati Tanzania
Shaibu Mtita Beki wa Kati Tanzania
Mohamed Hussein Beki wa Kushoto Tanzania
Nickson Kibabage Beki wa Kushoto Tanzania
David Bryson Beki wa Kushoto Tanzania
Chadrack Boka Beki wa Kushoto DR Congo
Kouassi Yao Beki wa Kulia Ivory Coast
Israel Mwenda Beki wa Kulia Tanzania
Issack Mtengwa Beki wa Kulia Tanzania
Kibwana Shomari Beki wa Kulia Tanzania
Moussa Balla Conté Kiungo wa Ulinzi Guinea
Omary Mfaume Bibo Kiungo wa Kati Tanzania
Aziz Andabwile Kiungo wa Ulinzi Tanzania
Abdul Nasir Asaa Mohammed Kiungo wa Kati Tanzania
Salum Abubakar “Sure Boy” Kiungo wa Ulinzi Tanzania
Mudathir Yahya Kiungo wa Kati Tanzania
Mohamed Doumbia Kiungo wa Kati Ivory Coast
Jonas Mkude Kiungo wa Kati Tanzania
Shekhani Khamis Kiungo wa Kati Tanzania
Duke Abuya Kiungo wa Kati Kenya
Clatous Chama Kiungo Mshambuliaji Zambia
Lassine Kouma Kiungo Mshambuliaji Ivory Coast
Denis Nkane Kiungo Mshambuliaji Cameroon
Faridi Mussa Winga wa Kushoto Tanzania
Celestine Ecua Winga wa Kushoto DR Congo
Maxi Nzengeli Winga wa Kushoto DR Congo
Edmund Godfrey John Winga wa Kushoto Tanzania
Pacome Zouzoua Winga wa Kulia Ivory Coast
Jonathan Ikanga Lombo Winga wa Kulia DR Congo
Offen Chikola Winga wa Kulia Zambia
Prince Dube Mshambuliaji wa Kati Zimbabwe
Andy Boyeli Mshambuliaji wa Kati DR Congo
Jean Baleke Mshambuliaji wa Kati DR Congo
Clement Mzize Mshambuliaji wa Kati Tanzania

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Ratiba ya Mechi za Yanga Ligi Kuu ya NBC 2025/2026
  2. Ratiba ya Timu ya Taifa ya Tanzania ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026
  3. Ratiba ya NBC Premier league 2025/2026
  4. Simba yamtambulisha Wilson Nangu
  5. Bayer Leverkusen Yamtimua Ten Hag Baada ya Mechi Tatu Tu
  6. Hizi Apa Picha za Jezi mpya za Simba 2025/2026
  7. Tarehe za Mechi za Simba VS Yanga 2025/2026: Ratiba ya Dabi ya Kariakoo
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo