Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024 2025

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025 | Msimamo wa Ligi ya Championship Tanzania 2024/2025

Ligi Daraja la Kwanza Tanzania, almaharufu kama NBC Championship, imeanza kwa kishindo msimu wa 2024/2025. Timu 16 zinapambana vikali kuwania nafasi ya kupanda daraja na kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao.

Msimu huu umeanza kwa moro na unaendelea kua msimu wa kipekee kutokana na ubora wa vilabu vinavyoshiriki, huku timu zikionyesha uwezo mkubwa na ushindani mkali. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi kuwa ligi itaendelea hadi tarehe 10 Mei 2025. Katika michezo ya mwanzo ya ligi, timu kadhaa zimeanza kuonyesha nia ya dhati ya kutawala ligi baada ya kuanza kwa kugawa dozi kwa wapinzani wao. Hapa habariforum tutakupa taariza kamili kuhusu hali ya msimamo wa ligi hii.

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Nafasi

Timu P W D L GF GA GD Pts
1 Mtibwa Sugar 17 14 2 1 31 7 24 44
2 Geita Gold 17 11 3 3 28 10 18 36
3 Mbeya City 17 10 5 2 30 16 14 35
4 Stand United 16 10 2 4 22 15 7 32
5 TMA 17 9 4 4 27 17 10 31
6 Mbeya Kwanza 17 9 4 4 21 16 5 31
7 Bigman 17 7 5 5 13 12 1 26
8 Songea United 17 6 7 4 19 16 3 25
9 Mbuni 17 6 5 6 19 16 3 23
10 Polisi Tanzania 17 5 5 7 14 18 -4 20
11 A.Sports 17 4 2 11 14 25 -11 14
12 Green Warriors 17 3 2 12 11 31 -20 11
13 Transit Camp 16 2 4 10 10 21 -11 10
14 Kiluvya 17 3 1 13 10 25 -15 10
15 Cosmopolitan 17 2 3 12 11 27 -16 9
16 Biashara UTD 17 5 4 8 14 22 -8 4

Angalia Pia

  1. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier League
  2. Msimamo Kundi la Tanzania Kufuzu Kombe La Dunia 2026
  3. Msimamo Makundi ya EURO 2024
  4. Msimamo Wa Ligikuu Ya NBC Tanzania 2023/2024
  5. Msimamo Wa Ligikuu Ya NBC Tanzania 2023/2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo