Orodha ya Wachezaji Wazawa Yanga Sc 2025/2026

Orodha ya Wachezaji Wazawa Yanga Sc 2025/2026

Timu ya Wananchi, Yanga SC, imeendelea kutambulisha rasmi kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/2026, huku ikionesha dhamira ya kuimarisha safu ya wachezaji wa ndani (wazawa) kwa kiwango cha juu. Katika harakati za kuhakikisha inaendelea kuwa miongoni mwa klabu bora barani Afrika, Yanga SC imeweka mkazo katika kuwatunza nyota wa Kitanzania waliothibitisha ubora wao, huku pia ikiwapa nafasi chipukizi wenye uwezo mkubwa wa kukuza vipaji vya ndani.

Orodha ya Wachezaji Wazawa Yanga Sc 2025/2026

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu, ifuatayo ni orodha ya wachezaji wazawa Yanga SC 2025/2026, waliothibitishwa rasmi kuwa sehemu ya kikosi cha timu ya wananchi msimu wa 2025/2026:

Wachezaji Wazawa Yanga SC 2025/2026

  1. Abutwalib Hamad Mshery
  2. Khomonei Abubakar
  3. Kibwana Shomari
  4. Israh Mwenda
  5. Nickson Clement Kibabage
  6. Mohammed Hussein
  7. Ibrahim Bacca
  8. Bakari “Nondo” Mwamnyeto
  9. Dickson Job
  10. Aziz Andabwile
  11. Farid Mussa
  12. Offen Chikola
  13. Denis Nkane
  14. Mudathir Yahya
  15. Clement Mzize
  16. Salum Abubakari “Sure Boy”
  17. Abdulnassir Mohammed
  18. Abubakar Nizar Othuman “Ninju”
  19. Shekhan Hamis

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Cv ya Mohammed Bajaber Kiungo Mshambuliaji Mpya Simba Sc 2025/2026
  2. Picha za Wachezaji Wapya wa Simba 2025/2026
  3. Pamba Jiji FC Yamtambulisha Francis Baraza Kama Kocha Mkuu 2025/2026
  4. CV ya Alassane Kante Kiungo Mpya Simba 2025/2026
  5. CV Ya Rushine De Reuck Beki Mpya wa Simba 2025/2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo