Wachezaji wa Soka U-21 Waliofanya Vizuri Msimu wa 2024/2025

Wachezaji wa Soka U-21 Waliofanya Vizuri Msimu wa 2024/2025

Kutoka kwenye ligi tano kubwa barani Ulaya, hawa ndio wachezaji vijana chini ya umri wa miaka 21 walioibuka na kung’ara zaidi msimu wa 2024/2025—na kuonyesha dalili zote za kuwa mastaa wa kiwango cha dunia katika miaka ijayo.

Ingawa ni nadra sana kumpata mchezaji wa kipekee kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo, bado vipaji vipya vinaendelea kuchomoza kila msimu, vikiwa na uwezo mkubwa wa kufikia mafanikio makubwa katika soka la kisasa. Katika makala hii, tumekuletea orodha ya vijana waliotamba zaidi duniani, tukizingatia vigezo vya mafanikio yao kwenye ngazi ya klabu au timu ya taifa pamoja na uwezo wao wa baadaye. Hawa ni vijana waliotia fora msimu huu na wanaotazamwa kwa jicho la matumaini na mashabiki wa kandanda kote duniani.

Nafasi Mchezaji Timui Umri
1 Lamine Yamal Barcelona 17
2 Desire Doue Paris Saint-Germain 19
3 Joao Neves Paris Saint-Germain 20
4 Pau Cubarsi Barcelona 18
5 Endrick Real Madrid 18
6 Arda Guler Real Madrid 20
7 Warren Zaire-Emery Paris Saint-Germain 19
8 Kenan Yildiz Juventus 20
9 Gavi Barcelona 20
10 Myles Lewis-Skelly Arsenal 18
11 Kobbie Mainoo Manchester United 20
12 Dean Huijsen Real Madrid 20
13 Ethan Nwaneri Arsenal 18
14 Leny Yoro Manchester United 19
15 Alejandro Garnacho Manchester United 20
16 Rico Lewis Manchester City 20
17 Kendry Paez Independiente del Valle 18

Wachezaji wa Soka U-21 Waliofanya Vizuri Msimu wa 2024/2025

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Siku ya Kuripoti Chuo cha Polisi Moshi 2025 kwa Vijana Waliochaguliwa
  2. Michezo ya Yanga Sc Iliobaki Msimu wa 2024/2025
  3. Wachezaji wa Yanga Walioitwa Kwenye Kikosi cha Timu ya Taifa June 2025
  4. Kikosi cha Taifa Stars kilichoitwa kambini Kuelekea COSAFA na Mechi ya Kirafiki
  5. Dembélé Amechaguliwa Kuwa Mchezaji Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya 2024/25
  6. Wafungaji Bora Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo