Singida BS VS Flambeau Leo 25/10/2025 Saa Ngapi?
LEO, Singida BS watakuwa dimba la Azam Complex wakirudiana na Flambeau ya Burundi. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD.
Katika mechi ya mkondo wa kwanza timu hizi zilitoka sare ya 1 – 1.
Mapendekezo ya Mhariri:
- Yanga SC Yatangaza Kuachana na Kocha Wake Romain Folz
- Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026
- Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2025/2026
- Matokeo ya Azam vs KMKM Leo 24/10/2025
- Pacome Anukia Kombe la Dunia Baada ya Ushindi 7-0 Dhidi ya Shelisheli
- Kaizer Chiefs Ya Thibitisha Kuachana na Kocha Nasreddine Nabi








Leave a Reply