Singida BS VS Flambeau Leo 25/10/2025 Saa Ngapi?

Singida BS VS Flambeau Leo 25/10/2025 Saa Ngapi?

LEO, Singida BS watakuwa dimba la Azam Complex wakirudiana na Flambeau ya Burundi. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD.

Katika mechi ya mkondo wa kwanza timu hizi zilitoka sare ya 1 – 1.

Singida BS VS Flambeau Leo 25/10/2025 Saa Ngapi?

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Yanga SC Yatangaza Kuachana na Kocha Wake Romain Folz
  2. Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026
  3. Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2025/2026
  4. Matokeo ya Azam vs KMKM Leo 24/10/2025
  5. Pacome Anukia Kombe la Dunia Baada ya Ushindi 7-0 Dhidi ya Shelisheli
  6. Kaizer Chiefs Ya Thibitisha Kuachana na Kocha Nasreddine Nabi
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo