Ratiba ya Mechi za AFCON Leo 30/12/2025

Ratiba ya Mechi za AFCON Leo 30/12/2025

Mechi za hatua ya makundi ya michuano ya AFCON 2025 zinaelekea tamati, huku mataifa mbalimbali barani Afrika yakiendelea kuwania pointi muhimu katika mbio za kusonga mbele. Leo, tarehe 30 Desemba 2025, mashabiki wa soka wanatarajiwa kushuhudia michezo kadhaa yenye ushindani mkubwa, ambapo timu zinatafuta matokeo chanya ili kujiweka katika nafasi nzuri kabla ya hatua ya mtoano.

Mechi za AFCON Leo 30/12/2025

Kwa mujibu wa ratiba rasmi, leo kunachezwa jumla ya mechi nne katika makundi tofauti, zikiwa zimepangwa katika nyakati mbili tofauti.

Tarehe Muda Mechi
Leo 30/12/2025 19:00 Uganda vs Nigeria
Leo 30/12/2025 19:00 Tanzania vs Tunisia
Leo 30/12/2025 22:00 Botswana vs DR Congo
Leo 30/12/2025 22:00 Benin vs Senegal

Ratiba ya Mechi za AFCON Leo 30/12/2025

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Msimamo wa Kundi C La Tanzania AFCON 2025
  2. Kikosi cha Tanzania Taifa Stars vs Uganda Leo 27/12/2025
  3. Matokeo ya Uganda Vs Tanzania Taifa Stars Leo 27/12/2025
  4. Uganda vs Tanzania Taifa Stars Leo 27/12/2025 Saa Ngapi?
  5. Ratiba ya Mechi za AFCON Leo 27/12/2025
  6. Msimamo wa Makundi AFCON 2025
  7. Bao la Dakika za Mwisho la Patson Daka Lainusuru Zambia Dhidi ya Mali, Mechi Ikiisha 1-1
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo